Wednesday, 11 June 2014

HAPA LAZIME UKAE!! SHINDANO LA MISS HIPS UTAIPENDA IYO!!




Ijeoma Nnaj-Mshindi 

Hili ni shindano lingine tena linalo husisha wadada wenye maumbo yao.....Wadada walio Jazia Jazia huko Nigeria. Shindano hili lilifanyika usiku wa Jana katika Hotel ya Federal Palace Hotel & Casino.Na mtoto Ijeoma Nnaji akitokea Kano State ndio alieibuka mshindi....ambae amejinyakulia brand new car....

Hii inabidi ije na HAPA BONGO!!!

0 comments:

Post a Comment