Wednesday, 18 June 2014

BAADA YA PICHA ZAKE ZA UTUPU KUSAMBAA: HAYA NDIYO YALIYOJIRI KWA DEMU WA NAY WA MITEGO , SIWEMA...!


Miongoni mwa mastar ambao wanamake headline kila kukicha ni pamoja na Ney wa Mitego
ambaye siku chache zilizopita aliwaonyesha waandishi habari nyumba yake mpya aliyoijenga na baadhi ya vitu vingine ikiwemo pia gari analotembelea kwa sasa ambalo ni Nissan Murano.
Leo kupitia You heard mpenzi wa Ney aitwae Siwema amehusishwa taarifa za kupiga picha za utupu ambazo zimesababishwa kufukuzwa kazi kwenye kampuni ya Shirika la ndege alilokua analifanyia kazi,Ney alipopigiwa simu na Ney kuhusu suala hilo haya ndiyo yalikua majibu yake.

0 comments:

Post a Comment