Thursday, 12 June 2014

DUH NIZILE LAANA!!!! KIJANA AKAMATWA NA WANANCHI AKIMLAWITI MTOTO WA MIAKA 12




Kijana mmoja  ambaye amefahamika kwa jina moja la Ridhiwan  akutwa na wananchi  Akimlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 12 maeneo ya PPF Njiro majira ya saa 11 jioni hii


Amani Athumani aliyembaka Mtoto wa Miaka 12 muda mchache uliopita
Huyu ndiye mtoto  aliye lawitiwa mwenye umri wa Miaka (12.)
 Amani Athumani akiwa Chini ya
ulinzi baada ya kukamatwa akiwa anamlawiti mtoto wa Miaka 12
 Mashuhuda wakiwa wanamshangaa kijana huyo aliyelawiti mtoto

 Wananchi  wakiwa  wamejitokeza ili kumukamata  kijana huyo...

Mpaka sasa kijana huyo yupo eneo alililo kamatwa Njiro karibu na PPF.

0 comments:

Post a Comment