Ameshindwa kuvumilia na hatimae kutokwa chozi mtu mzima baada ya watu
anaojibizana nao mitandaoni kuchukua picha ya mama yake na kui-edit
akaonekana akiwa uchi.
Ni fedheha kubwa sana kwa Wema na kwa yeyote mwenye uchungu na mama hili hakuwa na budi kuwa mpole. Soma kilichomkuta hapa.
0 comments:
Post a Comment