Mke
wangu na mimi ni watu ambao tupo Bize sana na majukumu ya kila siku ya
kimaisha. Baada ya Miezi miwili shemeji yangu aliomba kuja kukaa kwangu
kutokana na maisha
kumuendea kombo hivyo hakuweza kumudu swala la kulipa kodi na chakula. Baada ya wiki kadhaa kupita tuliishi kwa amani tele pale nyumbani kwetu...
kumuendea kombo hivyo hakuweza kumudu swala la kulipa kodi na chakula. Baada ya wiki kadhaa kupita tuliishi kwa amani tele pale nyumbani kwetu...
Siku
chache kabla ya Jumatatu kuingia nakumbuka ndipo balaa lilipoanza
nikiwa simuelewi shemeji yangu. Mara ananifuata chumbani akiwa nusu
utupu, mara chooni sasa naogopa sana mke wangu akija kugundua
anachokifanya mdogo wake.
Baada
ya siku kadhaa kupita mke wangu alipata safari kwenda Dubai kusafiri
kukusanya Baadhi ya mizigo ya Dukani kwetu. Hapo niliihisi mwili mzima
kulowa Jasho maana nilijua nini kitafuata...Naombeni ushauri wenu jamani
maana akirudi mke wangu sijui itakuaje...
0 comments:
Post a Comment