Nahodha wa timu ya taifa ya England Steven Gerrard, 34, amestaafu kucheza soka la kimataifa.
Akizungumza
kwenye tovuti ya chama cha soka cha England FA amesema: "nimefurahia
kila dakika niliyowakilisha nchi yangu na ni siku ya masikitiko kufahamu
sitovaa tena jezi ya England."
0 comments:
Post a Comment