Tuesday, 22 July 2014

WATU NANE WAKO CHINI YA ULINZI KUFUATIA TUKIO LA KUTUPWA KWA VIUNGO VYA BINADAMU


Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova
akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. 
 Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo
 

Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.BOFYA INGIA HAPA KUONA TUKIO HILO.
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.

0 comments:

Post a Comment