Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley
(kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum.
(kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum.




Kikosi cha Kiislam cha kijeshi chenye msimamo mkali kimeachilia video inayoonyesha mauaji ya mwandishi wa habari mwenye asili ya Marekani, James Foley, aliyepotea tangu alipokamatwa mateka na kushikiliwa nchini Syria miaka miwili iliyopita na sasa ameuawa.
Ikulu ya Marekani imesema inaifanyia uchunguzi wa kina video hiyo na ikithibitika kwamba mwandishi huyo wa habari ni wa taifa hilo, serikali ya Marekani itataka ufafanuzi wa kina ilikuaje na kwa nini James Foley auawe.
0 comments:
Post a Comment