KOMBE LA DUNIA:SPAIN YAPEWA KICHAPO CHA MBWA MWIZI TOKA KWA NETHERLANDS 5- 1 Posted on 09:24 by tzjamii with No commentsPosted in sports Robin Van Persie akimlamba chenga kipa wa Hispania, Iker Casillas kabla ya kuifungia Uholanzi bao la nne katika ushindi wa 5-1 kwenye mechi ya Kundi B Kombe la Dunia. Robin van Persie alifunga bao zuri la kichwa cha umbali wa mita 30 kusawazisha kwa Uholanzi dakika ya 41 ya kipindi cha kwanza. Haamini macho yake: Casillas huku wachezaji wa Uholanzi wakishangilia bao la Van Persie. Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook Facebook Twitter Google+ Stumble Digg
0 comments:
Post a Comment