Monday, 21 July 2014

DUH KA MBELE VILE!!! MACHANGUDO WAZICHAPA LAIVU WAKIGOMBANIA MTEJA





Wauza Sukari hao walinaswa na Camera ya

Mdaku katika mitaa ya katikakati ya jiji la Dar Es Salaam wakitwangana makonde Huku wadau wakisema wawili hao wanadundana sababu ya Mmoja kumwingilia mwenzie katika Koloni lake la kudumu hasa nyakati za Mchana.

0 comments:

Post a Comment