Thursday, 24 July 2014

MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA


Meriam Ibrahim akiwa na mumewe Daniel Wani pamoja na mtoto wao wa kwanza.

MWANAMKE wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada ya kukaa ubalozi wa Marekani mjini Khartoum, Sudan kwa zaidi ya mwezi mmoja.
Meriam na familia yake wameondoka na ndege ya Serikali ya Italia wakisindikizwa na Makamu Waziri wa

0 comments:

Post a Comment