Bondia Floyd Mayweather amekuwa mwanamichezo anayelipwa zaidi duniani miezi 12 iliyopita, kwa mujibu wa jarida la biashara la Forbes. Orodha ya mwaka huu ya matajiri ilionyesha kuwa Mayweather, alikuwa kinara, akijiingizia dola milioni 300.
Mayweather alimpiga mpinzani wake mkubwa kwa alama Mei 2, 2015 jijini Las Vegas
0 comments:
Post a Comment