Saturday, 21 June 2014

BIFU KUBWA: MZEE WA UPAKO AMPA MAKAVU LIVE MCHUNGAJI GWAJIMA ...!




Mzee wa Upako
Kasema Gwajima anafanya hadaa kwa wafuasi wake, kasema kama kweli anafufua misukule, mbona hafufui
watu wanaofahamika?
Hafufui baba na mama zetu, hafufui majirani zetu, anafufua tusiowajua?!
Mchungaji Gwajima

Gwajima mzee wa HUMMER3 na wafuasi wake mna lolote la kuongea?!

0 comments:

Post a Comment